Aga (feat. Bonga)

Kusah

    Continúa después del anuncio

    Baby, nina kaneno niseme na wewe
    Tega sikio makini unielewe
    Kwamba wako wengi wazuri ila kwangu ni wewe
    My sweety, chunga usije niacha mwenyewe (hmm)

    Beiby ooh, beiby ooh
    You are the only in my heart oh
    Beiby ooh, beiby ooh
    Umenifunga hadi macho

    Ntalia (henhe), ntalia (hmm)
    Ah beiby, ah baby, ah baby I love you
    Ntaumia ntaumia ma
    Utanikoroga koroga akili ma
    Ntalia, ntalia
    I love you, I love you, I love you (ooh beiby)
    Ntaumia ntaumia mama (eeh)

    Hee hii
    Alivyojaza huko nyuma (aga)
    Kama kabeba mlima eeh (aga ga)
    Mi hoi nguvu sina (aga)
    Iyeyeye
    Kama ni boat za vinande (aga)
    Roho itaniuma ukiniacha (aga)
    Iyeyeye yelele (aga)
    Iyeyeye yelele

    Continúa después del anuncio

    Shindu shindua ukinuna nitacheka
    Nipe kitandani vyote
    Mpaka kwenye mkeka
    Oh beiby, milio fulani kama toni za tarumbeta
    Kama ni pambano
    We mayweather mi ni chekaa

    Asi beiby, we ning'ang'anie
    Hujalo acha wacha nikumwagie
    Fanya dari we uning'inie
    Ah yeyeye yeye

    Ntalia (henhe), ntalia (hmm)
    Ah beiby, ah baby, ah baby I love you
    Ntaumia ntaumia ma
    Utanikoroga koroga akili ma
    Ntalia, ntalia
    I love you, I love you, I love you (ooh beiby)
    Ntaumia ntaumia mama (eeh)

    Hee hii
    Alivyojaza huko nyuma (aga)
    Kama kabeba mlima eeh (aga ga)
    Mi hoi nguvu sina (aga)
    Iyeyeye
    Kama ni boat za vinande (aga)
    Roho itaniuma ukiniacha (aga)
    Iyeyeye yelele (aga)
    Iyeyeye yelele

    Aah ooh hodari
    Togo meli mix na sukari
    Mwenzako silali eeh
    Wowowo hodari
    Mwenzako kuku na kidelima
    Yaani mwenzako silali yeyeye

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión