Chelewa (feat. Ruby)

Kusah

    Continues after the ad

    Uuh umeni murder
    Nimeishiwa na pozi mie
    Nmekosa mada
    Nabaki uh kutwa kukuwaza
    Tamu usijegeuka shubiri
    Moyo utaukwaza (aah eeh)

    Wewe ndo jike langu la kopa
    Mimi ndo dume lako la shupaza
    Na uliko ni mbali njoo
    Kabla kiza hakijatanda

    Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
    Macho ya kudondoka eeh
    Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
    Wewe dada umeniweza eh
    Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
    Macho ya kudondoka eeh
    Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
    Wewe dada umeniweza

    Continues after the ad

    Mbona unachelewa
    Mbona unachelewa
    Mbona unachelewa
    Chelewa, chelewa
    Mbona unachelewa

    Jua linazama
    Moyo wangu unapwetapweta
    Jini kisirani amepata nafasi
    Stress za mapenzi zanilemea
    Najaribu jidanganya (jidanganya)
    Kuku kwa foleni nakaribia
    Mimi bila wewe kama bwege
    Sina lolote

    Oh, baby baby I need ya
    Jaribu kwendaga na mida
    Ukinipa vyote barida
    Njoo nikudakishe na show (oh, baby)

    Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
    Macho ya kudondoka eeh
    Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
    Wewe dada umeniweza
    Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
    Macho ya kudondoka eeh
    Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
    Wewe dada umeniweza

    Mbona unachelewa
    Mbona unachelewa
    Mbona unachelewa
    Chelewa, chelewa
    Mbona unachelewa (ooh baby)

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão