Kelele (feat. Ruby)

Kusah

    Continues after the ad

    We umenikaa, umenikaa kwa roho
    Nafsi mpaka akili yangu
    We dada umenibamba mmh mhh
    Ooh darling, halafu tumetokaga mbali mmh
    Sioni dalili ya kukuumiza ukalia
    Halafu darling, mwenzako nakupenda kweli
    Tufike wawili, sitaki mwingine kwa safari

    Penzi letu lime-takeover
    Nimekunywa, nina hangover
    Umegeuka gari, umenigonga mmh mhh
    Penzi letu lime-takeover
    Nimekunywa, nina hangover
    Umegeuka gari, umenigonga
    Umenishika kichwa, umeninyonga

    Ila kelele lele, wana kelele lele
    Kelele lele, wana kelele lele
    Ooh kelele lele (maneno ya kando kando)
    Wana kelele lele (hawanaga mipango)
    Kelele lele (yatakwisha baba)
    Wana kelele lele (iye iye iye)

    Continues after the ad

    Wale walinidhurumu, nikawapa wakaiba
    Ukaifuta na sumu, ukaijenga na huba
    Baba baba niongezee, nipe vyote nikumbate
    Na mahaba nipe yotee, wale wasinikamate iyee

    Penzi letu lime-takeover
    Nimekunywa, nina hangover
    Umegeuka gari, umenigonga (uuh uuoh)
    Penzi letu lime-takeover
    Nimekunywa, nina hangover
    Umegeuka gari, umenigonga
    Umenishika kichwa, umeninyonga

    Ila kelele lele (maneno ya kando kando)
    Wana kelele lele (hayanaga mipango)
    Kelele lele (yatakwisha mama mama)
    Wana kelele lele (iye iye iye)

    Ooh kelele lele (maneno ya kando kando)
    Wana kelele lele (hawanaga mipango)
    Kelele lele (yatakwisha baba)
    Wana kelele lele (iye iye iye)

    Maneno ya kando kando
    Hayanaga mipango
    Yatakwisha mama mama
    Iye iye iye

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão