Distance

Lady Jaydee

    Continúa después del anuncio

    Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
    Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami

    Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
    Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
    Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
    Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
    I love you, I want you and I need you
    My heart is thinking of you but you're far away from me
    Je t'aime, je te veux, j'ai besoin de toi
    Mon coeur te pans, Mh tiele du moi
    Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
    Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
    Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
    Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
    Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
    Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange

    Usiku wa manane, nikasikia waniita
    Kufumbua macho nagundua ni ndoto
    Usiku wa manane, nikasikia kuh kuh
    Kutizama pembeni sikuoni mpenzi
    Mara nyingi peke yangu nitembeapo njiani
    Nina kuwaza wewe na ninapata kiwewe

    Continúa después del anuncio

    Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
    Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
    Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
    Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
    I love you, I want you, and I need you
    My heart is thinking of you but you're far away from me
    Je t'aime, je te veux, j'ai besoin de toi
    Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
    Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
    Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
    Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
    Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
    Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
    Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange

    Uwapo safarini mawazo mengi kichwani
    Ili kujiliwaza ninapata ss
    Penzi si la mmoja mapenzi ni ya wawili
    Na ni ya mimi na wewe witunge mwana wa mawe
    Ili siku moja tuwe kitu kimoja
    Tuje tujenge pamoja na watoto tulee

    Nakupenda, nakutaka, nakuhitaji
    Moyo wangu wakuwaza mpenzi uko mbali nami
    Ngiyakuthanda, ngiyakufuna, ngiyakudinga
    Nhliziyo yami, ngicabanga ngawe kodwa ukude nami mpenzi
    I love you, I want you, and I need you
    My heart is thinking of you but you're far away from me
    Je t'aime, je te veux, j'ai besoin de toi
    Mmh mon coeur te pans, Mh tiele du moi
    Nalingiyo, naleliyo, naza naposa nayo
    Motema nanga ezokanisa yoo ozali mosika nanga
    Ndagukunda, ndagushaka, ndagukeneye
    Umutima wanje ula kwiyumvila aliko ulikule chane
    Nze nkwagala, nkwagala, nkwagala nyo-oo-oo
    Umutima gwange gukulowoza, naye oliwala nyo nange

    Nakupenda (mpenzi wee mpenzi wee)
    Ngiyakutanda (mpenzi wee mpenzi wee)
    I love you (mpenzi wee mpenzi wee)
    Je t'aime (mpenzi wee mpenzi wee)
    Nalingiyo (mpenzi wee mpenzi wee)
    Ndagukunda (mpenzi wee mpenzi wee)
    Nasema nakutaka (mpenzi wee mpenzi wee)
    Yakufuna (mpenzi wee mpenzi wee)
    Cos I want you (mpenzi wee mpenzi wee)
    Je te veux (mpenzi wee mpenzi weee)
    Naleliyo (mpenzi wee mpenzi wee)
    Ndagushaka (mpenzi wee mpenzi wee)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión