Amina

Mabantu

    Continúa después del anuncio

    Kanee!

    Asante God
    Kwa kunipa bless
    Asante asante
    God kwa kunipa bread

    Ni kweli nilidondoka
    Lakini nashukuru uliniokota
    Minyororo ya wanga ya kusota
    Uliikata yote ukaniondosha

    Ukanivua shida ukanivisha cheo
    Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo
    Ukanipa chakula cha jana na leo
    Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo

    Ukanivua shida ukanivisha cheo
    Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo
    Ukanipa chakula cha jana na leo
    Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo

    Let me thank you now
    Amina eeh Amina (papa God ooh)
    Amina eeh Amina (papa God ooh)
    Amina eeh Amina (God ooh)
    Amina eeh Amina (let me thank you now)

    Continúa después del anuncio

    Amina eeh Amina (papa God ooh)
    Amina eeh Amina (papa God ooh)
    Amina eeh Amina (God ooh)
    Amina eeh Amina (let me thank you now)

    Mola Jalali wangu baba
    Nilie kosa ukanisamehe ukasahau
    Na hichi kibali chako baba
    Waniheshimu wote walionidharau

    Kuhangaika kwa jua
    Ilikuwa funzo baba (aah)
    Kukushukuru kwa dua
    Hata nikila ugali dagaa

    Asante Mungu yako turufu
    Niliomba maji ukuyawekea upupu
    Niliomba nyama hukunipa panya buku
    Kombolela ukazinga me nikabutua

    Ukanivua shida ukanivisha cheo
    Ukasema mwanangu me ndo baba yako leo
    Ukanipa chakula cha jana na leo
    Ukasema nitakuwa na nipo hapa leo

    Let me thank you now
    Amina eeh Amina (nah nah nah amina)
    Amina eeh Amina (baba baba baba)
    Amina eeh Amina (aah)
    Amina eeh Amina

    Amina eeh Amina (baba ooh)
    Amina eeh Amina (baba ooh)
    Amina eeh Amina (nashukuru kwa yote)
    Amina eeh Amina (kwa yote)

    Baba God ooh
    Baba God ooh
    God ooh
    Let me thank you now

    Baba God ooh
    Baba God ooh
    God ooh
    Let me thank you now

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión