Pombe (feat. Leon Lee & Rayvanny)

Macvoice

    Continúa después del anuncio

    Nataka pombe, nataka kulewa
    Nataka pombe pombe, nataka kulewa
    Eeh aiyoyoyo (It's S2kizzy beiby)
    Eeh aiyeyeye
    Aah aiyoyoyo
    Eeh aiyeyeye

    Kama, kama sitaki
    Kama, kama sitaki
    Nacheza kama, kama sitaki
    Yaani kama ah ah kama sitaki

    Wanoko washamba, nawacheka kwa dharau (Kama sitaki)
    Nishafuta namba wachawi wote nawasahau (Kama sitaki)
    Sinanga mawenge, siwajibu wakitoka (Kama sitaki)
    Sibishani na kenge, leta matusi nikublock (Kama sitaki)

    Nina-kunywa bia (Kama sitaki)
    Nina-kwama bia (Kama sitaki)
    Eh eh eh eh aiyoyoyo
    Hio hio hio, aiyeyeye
    Shuka shuka shuka, aiyoyoyo
    Eh eh eh eh aiyeyeye

    Continúa después del anuncio

    Nataka pombe, nataka kulewa
    Nataka pombe pombe, nataka kulewa
    Nataka pombe, nataka kulewa
    Nataka pombe pombe, nataka kulewa

    Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
    Leta tulewe, zungusha tena, aiyeyeye
    Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
    Meza ipendeze, zungusha tena, aiyeyeye

    Nakapa pombe kakilewa ndo nakashika, kama sitaki
    Napanda milima ghetto kileleni nafika, kama sitaki
    Ninakunywa bia, kama sitaki
    Ninakapa bia, kama sitaki

    Nataka pombe, nataka kulewa
    Nataka pombe pombe, nataka kulewa
    Nataka pombe, nataka kulewa
    Nataka pombe pombe, nataka kulewa

    Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
    Leta tulewe, zungusha tena, aiyeyeye
    Oooh ooh, zungusha tena, aiyoyoyo
    Meza ipendeze, zungusha tena, aiyeyeye

    (It's S2kizzy beiby)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión