Mama Mkwe

Malkia Karen

    Continúa después del anuncio

    Ashukuriwe Mungu kwa zawadi ya uhai
    Tunasherekea hakuna anayetudai
    Na mliotabiri Hayawi ngoja niwasabahi
    Ndoa inanisitiri, haki ya Mungu Wallah

    Ooh Mama, mzaa chema
    Umetisha wewe eh, eeh
    Kama Sio Juhudi zako
    Ningempata wapi huyu my bebe?
    Aah aaiyaah

    Ooh Mamaa, mzaa chema
    Umetisha wewe
    Kama sio malezi yako
    Ningemtolea wapu huyu my bebe?
    Ooh, ooh!

    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha
    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha

    Continúa después del anuncio

    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha
    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha

    Allahamdullilah tumevalishana pete
    Baridi la ubachela hali ilikua tete
    Mkwe umenikabidhi mwanao, aje anitetee
    Niachane na Upweke, we ndo kabari yao

    Ooh Mama, mzaa chema
    Umetisha wewe eh, eeh
    Kama Sio Juhudi zako
    Ningempata wapi huyu my bebe?
    Aah aaiyaah

    Ooh Mamaa, mzaa chema
    Umetisha wewe
    Kama sio malezi yako
    Ningemtolea wapu huyu my bebe?
    Ooh, ooh!

    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha
    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha

    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha
    Wewe Mama Mkwe!
    Umenizalia furaha
    Mwanao ananinogesha kwa raha

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión