Katu Katu

Maua Sama

Continúa después del anuncio

Baby yeeiyee
Sama!

Uuh, uuh

Hitaji la moyo woo
Nifanye nini kwako ili ntimize
(Eh ehee, yeiyee, eh ehee)
Kwa penzi la uchoyo
Usijipe nafado nafsi ikupende
(Eh ehee, oh babe, eh ehee)

Kama umeishachoshwa nami nambie (eh, eh)
Kuliko kunifanya mapenzi ni chukie (eh, eh)
Nisipende mwingine mapenzi nijutie (eh, eh)
Kuofia ya leo yasinirudie (eh, eh)

Continúa después del anuncio

Katu katu katu uuh
Katu katu katu ee
Katu katu katu
Penzi linikatue

Oh, baby penzi umelitia doa
Na kama ni jasba sa we inabidi kukosoa
Nashindwa roho kwahaya mateso
Nikilalawi itakuwa kamchezo
Ulidanganya kumbe hunipendi bwana

Kama umeishachoshwa nami nambie (eh, eh)
Kuliko kunifanya mapenzi ni chukie (eh, eh)
Nisipende mwingine mapenzi nijutie (eh, eh)
Kuofia ya leo yasinirudie (eh, eh)

Sikuamini tena
Katu katu katu uuh
Katu katu katu ee
Katu katu katu
Penzi linikatue

Kama umeishachoshwa nami nambie (eh, eh)
Kuliko kunifanya mapenzi ni chukie (eh, eh)
Nisipende mwingine mapenzi nijutie (eh, eh)
Kuofia ya leo yasinirudie (eh, eh)

Sikuamini tena
Katu katu katu uuh
Katu katu katu ee
Katu katu katu
Penzi linikatue

Información de la canción

Composición:

¿Los datos están equivocados?

Enviar revisión