Mtaalam

Mbosso

    Continúa después del anuncio

    Na Mbosso Khan tena
    (Sounds by Abbah)

    Una kila sababu
    Ya kusimama kimaso maso
    Mungu kweli wa ajabu
    Kanionyesha kwa yangu macho
    Chukua zangu swahabu
    Mi nibaki na dhambi zako
    Unishikishe adabu
    Mida ya kulala nitokwe jasho
    Mi sijui kupigna mwili wangu wa mapensi dear
    Tusipende kugombana mi mwepesi kulialia
    Si kujibanabana, raha ya penzi kujiachia
    Wako mahututi mama, nimekufa nimejifia
    Eeeh! Nalambishwa asali
    Kwenye mzinga wa nyuki, tamu ni hatari
    Nalambishwa asali
    Nachezeshwa buzuki, dudu chalichali

    Nimempata!
    Nimempata mtaalam nimempata
    Nimempata mtaalam nimempata
    Nimempata mtaalamu nimempata
    Nimempata mtaalamu nimempata

    Continúa después del anuncio

    Mi mTanzania wa halali, ila chembechembe za India
    Mungu kaninyima ufahari, ila kwa huba najisifia
    Sitakuhonga magari, ila mahaba utasanzia
    Penzi kachumbari kwa ugali na pilipili ya kushagia
    Aah eeh! Nikuite nani?
    Majina yote nishamaliza

    Aah eeh! Wangu wa ubani
    Umeweza kunituliza
    Aah eeh! Mambo ya chumbani
    Yaani nalala huku napulizwa
    Aah eeh! Penzi zito tani
    Napewa raha kupitiliza

    Eeeh! Nalambishwa asali
    Kwenye mzinga wa nyuki, tamu ni hatari
    Nalambishwa asali
    Nachezeshwa buzuki, dudu chalichali
    Nimempata! Nimempata mtaalam nimempata
    Nimempata! Nimempata mtaalam nimempata

    Mtaalamu wa mapenzi
    Nimempata mtaalamu nimempata
    Fundi wa mafundi kungwi
    Nimempata mtaalamu nimempata
    Wasafi

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión