Pakua (feat. Rayvanny)

Mbosso

    Continúa después del anuncio

    (It's S2kizzy beiby)

    Yii! Aga kana kiuno laini cha kucheza baikoko (Koko)
    Nikikaona natamani tu nichambe doko (Doko)
    Na roho kana tatu kwa mbili hapana si kimoko (Moko)
    Aah-ah! Chenga kwa mwili ka gere John Boko

    Chii! Eeh ah roho
    Kanavyo isheke isheketua (Isheketu)
    Aga, kama hana kingili
    Anavyoicheketua (Cheketu)

    I say niletee niletee (Niweke!)
    Oooh niletee (Niweke!)
    Niletee mpaka chini (Niweke!)
    Unaogopa nini? (Niiweke!)

    Oh baby niletee niletee (Niweke!)
    Oh niletee (Niweke!)
    Mpaka juu darini (Niweke!)
    Kusi na kasikazini

    Pakua! Oh paku, pakua pakua!
    Uno la pochopocho
    Asa pakua, enhee eh (Pakua pakua)
    Ka kisamvu cha kopo Oya (Pakua, pakua pakua)
    Pakua pakua, pakua

    Continúa después del anuncio

    (Vanny Boy)
    I say ilee, iletete
    Mtoto punguza mapepe
    Acha kitee, kitetete
    Nivunjevunje niwe kiwetete ayee

    Oh, kipo taabu
    Katoto kamepungua (Sepetu)
    Kipele kikiwasha
    Sikuni nakakwarua (Keketu)

    Mtoto kashika fimbo ya babu
    Namshikisha adabu
    Wasotupenda twawapa tabu
    Tunawaimbia taarabu

    Hao! Hawana
    Hawana la kusema hawana
    Hawana, hawana la kusema hawana

    I say niletee niletee (Niiweke!)
    Oooh niletee (Niiweke!)
    Niletee mpaka chini (Niiweke!)
    Unaogopa nini? (Niiweke!)

    Oh baby niletee niletee (Niiweke!)
    Oh niletee (Niiweke!)
    Mpaka juu darini (Niiweke!)
    Kusi na kasikazini

    Pakua! Oh paku, pakua pakua!
    Uno la pochopocho
    Asa pakua, enhee eh (Pakua pakua)
    Ka kisamvu cha kopo Oya (Pakua, pakua pakua)
    Pakua pakua, pakua

    Oya baby, sisi
    Ndege laachia sa (Funga mkanda)
    Eeh baby, sweety
    Za kushoto kulia (Msongomsongo)

    Jamani popo popo
    Amsha popo (Amsha popo)
    Nasema popo popo
    Leo popo (Amsha popo)

    (Ka Mix Lizer)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión