DADA
Malaika, nakupenda malaika,
DADD7
malaika, nakupenda Malaika.
[chorus]
D7GEmA
Nami nifan-yeje, kijana mwenzio,
NC D A D A
nashind-waa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
ADADA
nashind-waa na mali sina, we, ningekuoa Malaika.
[verse 2]
DADA
Pesa zasumbua roho yangu,
DADD7
pesa zasumbua roho yangu.
[chorus]
D7GEmA
Nami nifan-yeje, kijana mwenzio,
NC D A D A
nashind-waa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
ADADA
nashind-waa na mali sina, we, ningekuoa Malaika.
[verse 3]
DADA
Kidege, hukuwaza kidege,
DADD7
Kidege, hukuwaza kidege.
[chorus]
D7GEmA
Nami nifan-yeje, kijana mwenzio,
NC D A D A
nashind-waa na mali sina, we, ningekuoa Malaika,
ADADA
nashind-waa na mali sina, we, ningekuoa Malaika.