Jipe (feat. Marioo)

Nadia Mukami

    Continúa después del anuncio

    Kamoyo kangu kachoyo
    Ila kwako nimetulia
    Nairobi mpaka bagamoyo
    Anataka kunichumbia

    Sasa nalishwa, navishwa
    Naogeshwaa aah
    Tena nalindwa napendwa
    Yule si wa kuficha aah

    Picha kule kule
    Watapata taabu saana
    Macho mbele mbele
    Ananipenda saanaa aah

    Hakuna pingamizi kwetu
    Hakuna madrama huku kwetu
    Hatuna maneno huku kwetu
    Tunapendana kikwetu

    Aka kamoyo kangu nijipe (nijipe)
    Ukinipenda sana nijipe (nijipe)
    Aka kamoyo kangu nijipe (nijipe)
    Ukinipenda sana nijipe (nijipe)

    Continúa después del anuncio

    Mi mwenzako nawezaga kupenda sikatai (kweli)
    Uh ndo nishazama usinipige kipapai honey
    Mi hapo kwako nishabwaga moyo usiulaghai (kweli)
    Uh ndo ushakwama unachotaka sikatai honey

    Najua bado huamini haya yamekua (yamekua ehh)
    Acha siamini

    Si Hakuna pingamizi kwetu
    Hakuna madrama huku kwetu
    Hatuna maneno huku kwetu
    Tunapendana kivyetu

    Aka kamoyo kangu nijipe (nijipe)
    Ukinipenda sana nijipe (nijipe)
    Aka kamoyo kangu nijipe (nijipe)
    Ukinipenda sana nijipe (nijipe)

    Mapenzi malove nawe
    Iwe shida au raha nitaponda nawe
    Nataka kapicha nawe
    Kumbusho pale tumetoka nawee

    Siamini leo ni mimi nawe (uuh mama)
    Ni mimi na wewe
    Hizi pesa nitafute nawe (uuh mama)
    Nitafute na wewe

    Lemme call you my dear
    This love is real not bandia
    If I love you hutakimbia
    'Cause my love is real not bandia

    Si Hakuna pingamizi kwetu
    Hakuna madrama huku kwetu
    Hatuna maneno huku kwetu
    Tunapendana kivyetu

    Aka kamoyo kangu nijipe (nijipe)
    Ukinipenda sana nijipe (nijipe)
    Aka kamoyo kangu nijipe (nijipe)
    Ukinipenda sana nijipe (nijipe)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión