Continúa después del anuncio

    Hamjui kupenda
    Kutwa mwaumiza eeh
    Na umenipa donda
    Nashindwa uguza eeh
    Kama ingekuwa tenda
    Ningeshafukuzwa eeh
    Ona furaha yangu imegeuka chozi

    Ona leo natamani
    Ile michezo ya chumbani
    Mara sweet mara honey
    Kumbe ilikuwa sinema
    ooh jamani
    Penzi liko rehani
    Nishapoteza na imani
    We niache niende eeH

    Uliniona kolo (kolo kolo ooh)
    Ulikosa kipi ukaniacha solo (solo solo ooh)
    Hauridhiki eti mi ndombolo (ya solo solo ooh)
    Nigeuke muziki ukanigeuza kiporo (eh, eh) kiporo
    Wala sitamani (aya wee aya)
    Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
    Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
    Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
    Kaa mbali na akili yangu

    Continúa después del anuncio

    Yapo mengi ya kukatisha tamaa ah
    Nilivumilia ilimradi niwage na wewe Baba aah
    Vituko vingi na fujo kara aah
    Nilipuuzia ili tu niishi na wewe
    Una kisirani
    Ndani ya nyumba tafarani
    Vurugu katuko vitani unanionea aah
    We mwanaume gani hasira Zaidi
    Ya shetani acha niweke begi begani
    Maana utanuia aah

    Uliniona kolo (kolo kolo ooh)
    Ulikosa kipi ukaniacha solo (solo solo ooh)
    Hauridhiki eti mi ndombolo (ya solo solo ooh)
    Nigeuke muziki ukanigeuza kiporo (eh, eh) kiporo
    Wala sitamani (aya wee aya)
    Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
    Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
    Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
    Kaa mbali na akili yangu

    Uwenda we sio fungu langu (aya wee aya)
    Bora nibaki pekeyangu (aya wee aya)
    Uwenda we sio fungulangu (aya wee aya)
    Kaa mbali na akili yangu

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión