Continúa después del anuncio

    Ninaulizwa mimi na wewe mbona hatuelewani
    Wakati urafiki wetu kila mtu anaufahamu
    Ila leo lazima niseme
    Kuwa wewe ni mzushi tena muongo

    Na kumbe una lako jambo
    Uliponishauri niachane naye

    Hata wewe, hata wewe
    Hata we shoga yangu, hata wewe
    Hata wewe, hata wewe
    Hata we shoga yangu, hata wewe

    Inasikitisha, inasikitisha
    Inasikitisha, sikitisha sana
    Inasikitisha, inasikitisha
    Inasikitisha, sikitisha sana

    Continúa después del anuncio

    Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
    Umenikosea
    Inaniuma sana ulivyonitenda
    Tuone furaha yako itaishia wapi

    Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
    Umenikosea
    Inaniuma sana ulivyonitenda
    Tuone furaha yako itaishia wapi

    Hata wewe, hata wewe
    Hata we shoga yangu, hata wewe
    Hata wewe, hata wewe
    Hata we shoga yangu, hata wewe

    Inasikitisha, inasikitisha
    Inasikitisha, sikitisha sana
    Inasikitisha, inasikitisha
    Inasikitisha, sikitisha sana

    Nitapata wapi rafiki mwema
    Kila rafiki adui tena
    Nakula nawe, nacheka nawe
    Nikikupa chongo ndo unanisema

    Hata ukisema vibaya (Sawa)
    Niombee mabaya (Sawa)
    Kunja roho mbaya (Sawa)
    Moyoni nina Jesus power (Power)

    Inasikitisha, inasikitisha
    Inasikitisha, sikitisha sana
    Inasikitisha, inasikitisha
    Inasikitisha, sikitisha sana

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión