Ninaulizwa mimi na wewe mbona hatuelewani Wakati urafiki wetu kila mtu anaufahamu Ila leo lazima niseme Kuwa wewe ni mzushi tena muongo Na kumbe una lako jambo Uliponishauri niachane naye Hata wewe, hata wewe Hata we shoga yangu, hata wewe Hata wewe, hata wewe Hata we shoga yangu, hata wewe Inasikitisha, inasikitisha Inasikitisha, sikitisha sana Inasikitisha, inasikitisha Inasikitisha, sikitisha sana Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu Umenikosea Inaniuma sana ulivyonitenda Tuone furaha yako itaishia wapi Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu Umenikosea Inaniuma sana ulivyonitenda Tuone furaha yako itaishia wapi Hata wewe, hata wewe Hata we shoga yangu, hata wewe Hata wewe, hata wewe Hata we shoga yangu, hata wewe Inasikitisha, inasikitisha Inasikitisha, sikitisha sana Inasikitisha, inasikitisha Inasikitisha, sikitisha sana Nitapata wapi rafiki mwema Kila rafiki adui tena Nakula nawe, nacheka nawe Nikikupa chongo ndo unanisema Hata ukisema vibaya (Sawa) Niombee mabaya (Sawa) Kunja roho mbaya (Sawa) Moyoni nina Jesus power (Power) Inasikitisha, inasikitisha Inasikitisha, sikitisha sana Inasikitisha, inasikitisha Inasikitisha, sikitisha sana