Mungu Pekee

Nyashinski

    Continúa después del anuncio

    Sijui kaa nitaona kesho
    Kaa ningali na uwezo wa kuifanya n'taifanya hadi mwisho
    Mwambieni huyo devil
    Simwogopi shetani, Sir God yuko nami hadi kifo
    Kaa nitaona kesho
    Nipe nguvu na uwezo wa kijana na akili za mzee
    Daima niwe, imara wasiniangushe

    Naona saa, kila siku nizawadi toka Maulana
    So haja gani ushike tama Mama
    Majaribu huisha oh yah eee!
    Na hata kaa
    Maadui zangu watashikana na zao njama
    Siwaogopi nasima ma ma
    Ya kiama yao ya ja eeeh

    Hiyo ndio pace nasonga nayo
    Wanashangaa hakuna stress nakuwanga nayo
    Naishi sawa sina kesi mahakamani
    Au madeni za majirani
    Niko freshi nje na ndani, oh ya eee!

    Namwogopa Mungu Pekee
    Mwanadamu 'kija kun'tafash naomba Mungu un'tetee
    Maneno yao yasiniumize n'fanye sugu wewe
    Wakitry kun'tisha naomba nisitetemeke

    Continúa después del anuncio

    I know you love me, know you love me
    So I don’t fear nobody but You
    I know you love me, know you love me
    Nisitetemeke

    Uh, siamini jo juu vile naishi life
    Ni ngumu kuamini hii si ndoto
    Sijui kesho vile itakaa
    Kwa hivyo leo nitaifanya ka kidogo hua hairidhishi roho
    Yaani sana, tena sana
    Hata wale wanan'chukia wananiheshimu bruh mi si kidogo
    Uh, sibabaiki nikiskia mkiongea nazidi kuwapa mi kisogo
    Na kama saa sismami
    Staki life iniache mataani mtaani
    Mwenyezi nichungie familia yangu na pia
    Za wale wote sauti yangu wanaiskia
    Tupe afya nzuri, na maisha matamu
    Barabara zetu zinyooke waone mfalme ni wewe
    Wakupewa shangwe ni wewe
    Wa kupewa shagwe ni wewe, hee!

    Namwogopa Mungu Pekee
    Mwanadamu 'kija kun'tafash naomba Mungu un'tetee
    Maneno yao yasiniumize n'fanye sugu wewe
    Wakitry kun'tisha naomba nisitetemeke

    I know you love me, know you love me
    So I don’t fear nobody but You
    I know you love me, know you love me
    Nisitetemeke

    I pray we, me and my people we never die
    Say we live forever and forever we multiply
    And wherever we go
    Ni nini wanaweza nishow hata kaa sina kitu
    Uko na mimi kila siku
    Kila siku Wewe Pekee

    Namwogopa Mungu Pekee
    Mwanadamu 'kija kun'tafash naomba Mungu un'tetee
    Maneno yao yasiniumize n'fanye sugu wewe
    Wakitry kun'tisha naomba nisitetemeke

    I know you love me, know you love me
    So I don’t fear nobody but You
    I know you love me, know you love me
    Nisitetemeke

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión