Sisi Ni Wale

Phina

    Continúa después del anuncio

    Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
    Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
    Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
    Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba

    Sina hela, sina pesa, sina doh
    Sina nyumba sina gari, sina ooh
    Kila kukikucha mi naiwaza kesho
    Napiga moyo konde nitafika ooh

    Wanaokudharau leo
    Watakusalimia kesho, kwa heshima
    Wanaokusema sema, watakusifia kesho
    Unaokula nao na kucheka nao
    Kesho ukidondoka utokuwa nao

    Piga moyo konde
    Wakati wa Mungu wakati sahihi
    Piga moyo konde
    Wakati wa Baba wakati sahihi
    (Sisi ni wale)

    Continúa después del anuncio

    Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
    Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
    Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
    Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba

    Jana niliumwa, nikadhani nitakufa
    Leo niko fiti, ukinicheki nadundika
    Nilipoachishwa kazi walidhani nitasota
    Leo nipo juu ile kibosi nadundika

    Kama unaamini umesaidiwa na Mungu
    Piga kelele
    Kelele moja
    (Eeh) Kelele mbili (eeh eeh)

    Kama unaamini umesaidiwa na Mungu
    Piga kelele
    Kelele moja
    (Eeh) Kelele mbili (eeh eeh)

    Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
    Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba
    Sisi ni wale tuliosaidiwa na Mungu
    Sisi ndo wale tuliobarikiwa na Baba

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión