Nainama

Pitson

    Continues after the ad

    duniani na mbinguni hakuna mungu mwingine
    jina yesu likitajwa nainama nainama

    mwamba imara kwako niko salama
    nikupe nini mungu usiyeshindwa
    mwamba imara kwako niko salama
    nikupe nini mungu usiyeshindwa

    jina lako yesu limeshinda yote
    nikipata yesu nimepata yoote
    mkate wa uzima (niwe),
    mfalme wa amani(niwe)
    mkate wa uzima (niwe),
    mfalme wa amani(niwe)

    Continues after the ad

    duniani na mbinguni hakuna mungu mwingine
    jina yesu likitajwa nainama nainama
    nainama nainama

    wakati wa dhiki, wewe ndiwe faraja
    wakati wa kilio wewe ndiwe furaha
    unanijua baba siwezi jificha
    macho yako baba yako kila pahali

    jina lako yesu limeshinda yote
    nikipata yesu nimepata yooote
    mkate wa uzima (niwe), mfalme wa amani(niwe)
    mkate wa uzima (niwe),
    mfalme wa amani(niwe) niwe niwe niwe

    duniani na mbinguni hakuna mungu mwingine
    jina yesu likitajwa nainama nainama nainama nainama

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão