Kijuso (feat. Rayvanny)

Queen Darleen

    Continúa después del anuncio

    Eyoo Laizer
    Wasafi Records

    Unaringa kitu gani, we mwenyewe ujisute
    Afadhali hata nyani, sio we mwanamke!
    Hupendezi asilani, sio unyoe, usuke
    Nilifata kitu gani? Umefanya nijute!

    Mi nakuona punguwani, na usikurupuke
    Kwanza naongea na nani? Naomba nikumbushe
    Mi nawe hatuendani, jipandishe jishushe!
    Usinipande kichwani, namba yangu ifute

    Hizo dharau, mwana mvyoro papu
    Naona unasahau nyuzi zako nilikapu

    Nimepanda dau, mkataba nimekata
    Tena nyang'au, ndo ukome kunifata

    Unaringa una nini? Kijuso!
    Vijimeno kama jini, Gaucho!

    Kwani nawe una nini? Kituko!
    Usio na kazi mjini, popo!

    Continúa después del anuncio

    Punguza kelele
    Acha kelele mama

    Punguza kelele baba
    Acha kelele bwana

    Eti nawe unavimba, perfume tu mtihani!
    Kwanza shirt ulovaa umeazima kwa nanii
    Wanifata kapuku, utanipa nini?
    Nilikuacha, leo kimekuwasha nini?

    Funga bakuli mbele yangu we mshamba
    Nakujua vizuri toka unavaa mabwanga
    Kati unanuka moshi, huna hata ishu!
    Kwenye pochi wanja na tishu

    Unapenda ganda la ndizi, kuteleza
    Wakati kupambana mpaka mchuzi wa pweza!
    Dume zima tantara tantara
    Instagram ina hue
    Wakati kwenu kula, kulala, huchangii hata kitunguu

    Hizo dharau, mwana mvyoro papu
    Naona unasahau nyuzi zako nilikapu

    Nimepanda dau, mkataba nimekata
    Tena nyang'au, ndo ukome kunifata

    Unaringa una nini? Kijuso!
    Vijimeno kama jini, Gaucho!

    Kwani nawe una nini? Kituko!
    Usio na kazi mjini, popo!

    Punguza kelele
    Acha kelele mama

    Punguza kelele baba
    Acha kelele bwana

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión