Continúa después del anuncio

    Basi gusa changu kiuno
    Nami nitulie
    Bila mfupa Nnavyokata
    Lazima usimulie
    Weka nukta shika hapa
    Na mimi niugulie
    Kama Guta sema popote
    Mwenzako niikalie

    Naitakasa nafsi na roho darling
    We ndoo yangu khabari
    Kwa wengine sina Habari
    Umenionjesha asali
    Nimewaka ka kibatali
    Uno hadi juu ya dali
    Niongoze nkuhonge ka gari
    Kandamiza huo msumari

    Me napenda ukinishikagaa (enhee)
    Unanitouch touch touch (enhee)
    Unanimaliza (enhee)
    Sema nikushike wapi enhee)
    Me napenda ukinishikagaa (enhee)
    Unanitouch touch touch (enhee)
    Unanimaliza (enhee)
    Sema nikushike wapi enhee)

    Continúa después del anuncio

    Kwako nimekuwa Zuzu
    Tena siwezi ganduka
    Sijui umenipa juju
    Nikikuona napandwa mizuka
    Me nasema waziwazi
    Mwenye wake aje amchukue
    Utamu wa wali nazi
    Nasema vya ndani usisimulie
    Meli imeweka nanga
    Me ndio wake mahabuba
    SIendi kwa mganga
    Sijawahi kumloga

    Naitakasa nafsi na roho darling
    We ndo yangu khabari
    Kwa wengine sina Habari
    Umenionjesha asali
    Nimewaka ka kibatali
    Uno hadi juu ya dali
    Niongoze nkuhonge ka gari
    Kandamiza huo msumari

    Me napenda ukinishikagaa (enhee)
    Unanitouch touch touch (enhee)
    Unanimaliza (enhee)
    Sema nikushike wapi enhee)
    Me napenda ukinishikagaa (enhee)
    Unanitouch touch touch (enhee)
    Unanimaliza (enhee)
    Sema nikushike wapi enhee)

    Baby Uutamu kolea (Utamu)
    Utamu kolea (Nimenogewa)
    Uutamu kolea (Yani tama sana)
    Utamu kolea
    Hasa baby niongeze (Utamu kolea)
    Nishike na hapa (Utamu kolea)
    Na kajicho nilegeze (Utamu kolea)
    Nikanyage kama rapa (Utamu kolea)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión