Baby (feat. Rowlene)

Rayvanny

    Continúa después del anuncio

    Mwanzo nilijua upo msalani
    Kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani
    Nikapiga simu yako haipatikani
    Ndio unapokea sa' hivi mummy
    Upo sehemu gani

    Hata kama sijajibu naomba Samahani
    Ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani
    Sijakuaga ila jua ndio nipo njiani
    Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
    Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

    Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
    Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

    Ni kweli ndani kuna masufuria
    Chakula hakuna, nini nitakupikia
    Na Kama tukipika basi bamia
    Kutwa nzima na njaa kama ngamia

    Nguzo ya upendo kusubiria
    Kwa nini unashindwa nivumilia
    Na mimi mbona ninakupigania
    Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

    Continúa después del anuncio

    Aah siwezi, kwa nini?
    Sirudi, sababu gani?
    Siwezi, aah
    Sirudi

    Nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki
    Zimetoboka unaweza kusema net
    Huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank
    Na ukirudi nyumbani, mfukoni huna cent

    Anapanga mola, kupata kukosa ridhiki
    Akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi
    Kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo
    Kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo

    Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
    Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

    Ni kweli ndani kuna masufuria
    Chakula hakuna, nini nitakupikia
    Na Kama tukipika basi bamia
    Kutwa nzima na njaa kama ngamia

    Nguzo ya upendo kusubiria
    Kwa nini unashindwa nivumilia
    Na mimi mbona ninakupigania
    Mummy rudi nyumbani, Mola atajalia

    Aah siwezi, kwa nini?
    Sirudi, sababu gani?
    Siwezi, aah
    Sirudi

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión