Continúa después del anuncio

    Iyo, iyo iyo
    Iyo, iyo iyo
    Sho, Madjozi

    Kwani unataka Madjozi ade ama nini
    Niahiambe aliki
    Mbona mwataka nasema napenda lakini
    Yeye haniambii
    Haweza akashindwa kifungo ata mia mbili
    Ela hanipigii, hivi nasema itabidi ongee ana mimi
    Kini hanisikii

    Kusubiri mimi kweli sitaweza
    Unanifeeli, keniwezi kunionyesha
    Sasa mimi nikihisi unanipenda
    Hukuniambia na ndio maana nilienda

    Hukuniambia, huku hukuniambia (Huku)
    Niambia, huku hukunambia
    Niambia, huku hukunambia (Huku)
    Niambia, huku hukunambia
    Hukuniambia kwamba wewe unanipenda
    Hukuniambia huku huku
    Hukuniambia kwamba wewe utaniweza
    Hukuniambia huku huku

    Continúa después del anuncio

    Huku huku, (Huku)
    Huku huku, Huku
    Huku huku, (Huku)
    Huku huku, Huku
    Huku huku, (Huku)
    Huku huku, Huku

    Sasa ukiniona na watu unakasirika
    Roho inakunjika
    Usiku uliniona natembea na arayika
    Kini hukuniita
    Mpaka nyumbani umenitumia aje akipa
    Kini hukunalika
    Wasa wanasema, nionyeshe, wacha kutificha
    Ni lakuni hambiaa

    Kusubiri mimi kweli sitaweza
    Unanifeeli, keniwezi kunionyesha
    Sasa mimi nikihisi unanipenda
    Hukuniambia na ndio maana nilienda

    Hukuniambia, huku hukuniambia (Huku)
    Niambia, huku hukunambia
    Niambia, huku hukunambia (Huku)
    Niambia, huku hukunambia
    Hukuniambia kwamba we unanipenda
    Hukuniambia huku huku
    Hukuniambia kwamba wewe utaniweza
    Hukuniambia huku huku

    Huku huku, (Huku)
    Huku huku, Huku
    Huku huku, (Huku)
    Huku huku, Huku
    Huku huku, (Huku)
    Huku huku, Huku

    Sho, Huku huku
    Huku huku, Huku
    Aish, Sho!

    Información de la canción

    Composición: Sho Madjozi y Siyabuela Koom

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión