Continúa después del anuncio

    My love, I want you
    My love, I need you
    Every timw I see you
    (Inadi club)
    Every time I see you
    (You light it up!)

    Hey, hey, hey

    Naomba nafasi mi nicheze na we
    Njoo karibu, usinicheki toka mbali
    Hatujuani, but tonight you could be my bae
    Songa nami, hii form imekubali

    Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
    Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana
    Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
    Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana

    Ngoma zalia na mi nataka kucheza
    Kucha kutwa, nishazoea kesha
    Sakata Rhumba, achilia pressure
    Tutacheza hata kama hatuna pesa

    Continúa después del anuncio

    Ngoma zalia na mi nataka kucheza
    Kucha kutwa, nishazoea kesha
    Sakata Rhumba, achilia pressure
    Hatujui kama tutaonana tena

    Hey, hey, hey

    Napenda unavyong'aa kama taa
    Hapa we ndio star
    You've got me feeling things that I can't explain
    Tu vitu, Ma vitu
    I think I'm falling for you just a little

    Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
    Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana
    Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
    Usiogope nipe macho yako Ana kwa Ana

    Ngoma zalia na mi nataka kucheza
    Kucha kutwa, nishazoea kesha
    Sakata Rhumba, achilia pressure
    Tutacheza hata kama hatuna pesa

    Ngoma zalia na mi nataka kucheza
    Kucha kutwa, nishazoea kesha
    Sakata Rhumba, achilia pressure
    Hatujui kama tutaonana tena

    Vunja mifupa, kaza mshipi na tuzikwende
    Tukizunguka, kaende, kaende
    Teremka, kata kiuno jionyeshe
    Inuka, Inuka

    Ngoma zalia na mi nataka kucheza
    Kucha kutwa, nishazoea kesha
    Sakata Rhumba, achilia pressure
    Tutacheza hata kama hatuna pesa

    Ngoma zalia na mi nataka kucheza
    Kucha kutwa, nishazoea kesha
    Sakata Rhumba, achilia pressure
    Hatujui kama tutaonana tena

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión

    Canciones relacionadas