Arenarena

Yammi

    Continues after the ad

    Yammi yammi
    Nilikuona nikiona kwa baba na mama
    Sio kwa umri huu
    Nilikuwa nikiyatazama
    Kwenye TV tu

    Kama Alkaida (kaida)
    Mahaba so kawaida
    Nna kila sababu
    Nitangaze mumwone
    Moyo kauiba (kaiba)
    Anapanga yeye ratiba
    Bure mnajipa tabu
    Kununa nuna msonone

    Jahazi pe
    Jahazi pepea
    Wape salamu vyote visiwa
    Nimetah tah, nimetwaliwa
    Na mambo matamu, asali na maziwa
    Na nimetekwa, kutoka siwezi toka
    Aah, nimeshikika kama pesa mapesa
    Na nimetekwa, kutoka siwezi toka
    Aah, nimeshikika kama pesa mapesa

    Continues after the ad

    Eti nimwache, nimuachie nani (arenarena)
    Simwachi abadani (arenarena)
    Eti nimwache, nimuachie jirani (arenarena)
    Simwachi abadani (arenarena)

    Na hili joto, nkufute majosha ooh dia
    Usiishie kula kwa macho, ndani ingia
    Uguse kikupendezacho my dia
    Uniwaze ulalapo ukisinzia

    Jahazi pe
    Jahazi pepea
    Wape salamu vyote visiwa
    Nimetah tah, nimetwaliwa
    Na mambo matamu, asali na maziwa
    Na nimetekwa, kutoka siwezi toka
    Aah, nimeshikika kama pesa mapesa
    Na nimetekwa, kutoka siwezi toka
    Aah, nimeshikika kama pesa mapesa

    Eti nimwache, nimuachie nani (arenarena)
    Simwachi abadani (arenarena)
    Eti nimwache, nimuachie jirani (arenarena)
    Simwachi abadani (arenarena)

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão