Unanichukia

Yammi

    Continúa después del anuncio

    Mhh upepo uvumao mashariki
    Unipepee kwa magharibi
    Na roho iponee
    Labda ungesema kwa lipi ambalo sikufai
    Na ukipata muda uje unione

    Nimezana meli feli, shilingi inaelea aah
    Au ule ujazo wa bahari umeshapungua
    Kule kunipumba pamba kwa zawadi
    Kujitumisha vimeseji, ahh mapenzi mabaya
    Panapo majaliwa
    Siku tukija tena kuonana
    Usisite kunisalimia
    So kimya kimya kama mabubu ah tunapishana

    Najua unanichukia
    Ahh unanichukia ooh
    Najua unanichukia
    Ahh unanichukia, unanichukia ooh

    Continúa después del anuncio

    Macho yatazama mbali
    Ila mi sioni mbele ukungu
    Katu wa moja habebagi mbili
    Hua nachekaga usoni, ya moyoni anajua Mungu

    Nimezana meli feli, shilingi inaelea aah
    Au ule ujazo wa bahari umeshapungua
    Kule kunipumba pamba kwa zawadi
    Kujitumisha vimeseji, ahh mapenzi mabaya
    Panapo majaliwa
    Siku tukija tena kuonana
    Usisite kunisalimia
    So kimya kimya kama mabubu ah tunapishana

    Najua unanichukia
    Ahh unanichukia ooh
    Najua unanichukia
    Ahh unanichukia, unanichukia ooh

    Información de la canción

    Composición: Yammi

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión