Kisiwa cha Malavidavi

Z Anto

    Continues after the ad

    Kwa kweli nilikuwa napenda sana
    Mechi za nje za ujana
    Aliyekuwa mke wangu
    Analia aah

    Kwa kweli nilikuwa napenda sana vibinti
    Nakuwahonga mpaka magari
    Waliyekuwa watoto wangu
    Wanateseka na njaa

    Mitungi kila saa
    Nyumbani sina time ya kukaa
    Marafiki nami
    Night club na mimi

    Sasa nimebaki lonely
    Track redioni hazichezwi
    Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
    Hata bebi hunitaki tena

    Sasa nimebaki lonely
    Track redioni hazichezwi
    Yaani pesa hakuna, marafiki hakuna
    Hata bebi hunitaki tena

    Nakupenda aiyaa
    Nakupenda sana bebi
    Nakuhitaji mama mama
    Njoo kisiwa cha malavidavi

    Continues after the ad

    Nilikutenda aiyaa
    Nisamehe my baby
    Nakuhitaji mama mama
    Njoo kisiwa cha malavidavi

    Sielewi tena nisikize ma
    Kwani najua pombe ndiyo chanzo ah
    Kilichofanya nikutende dharau kibao
    Ndani ya nyumba hakuna raha

    Na kwangu ulikuwa dhaifu nisikize ma
    Kwani najua kweli ulinipenda ah
    Watoto wangu niliwatenga
    Nisamehe mpenzi we unasema

    Sitaki rudia tena
    Najuta kwa yote niliyofanya
    Nisamehe na goti napiga, nalia ahh

    Sasa nimebaki lonely
    Track redioni hazichezwi
    Yaani pesa hakuna marafiki hakuna
    Hata bebi hunitaki tena

    Sasa nimebaki lonely
    Track redioni hazichezwi
    Yaani pesa hakuna marafiki hakuna
    Hata bebi hunitaki tena

    Nakupenda aiyaa
    Nakupenda sana bebi
    Nakuhitaji mama mama
    Njoo kisiwa cha malavidavi

    Nilikutenda aiyaa
    Nisamehe my baby
    Nakuhitaji mama mama
    Njoo kisiwa cha malavidavi

    Uje kwenye kisiwa cha malavidavi
    Uje tupeane mapenzi
    Usisahau na wanangu
    Sahau yaliyopita na tugange yajayo

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão