Nani (remix) (feat. Innoss'B)

Zuchu

    Continúa después del anuncio

    Kebo na bise elinge banda (esie bandi)
    Kebo na mbiso bayuma bakota kate (esie bakoti)
    Cababwe eh cababwe na katya bulletin
    Soda eh soda mundu kyakaka
    Nakeba dajuma naguzi babeti boteka
    Nakena mabono na money babeti boteka
    Bomba bomba bomba sukalu
    Bomba bomba eh bomba butamu
    Mama lobagi yekolako lukabwona

    Eh nani anaweza kulicheza sagarumba
    Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
    Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
    Nasema mimi ninaweza kulicheza sagarumba
    Maftaaa taa mafta taa mafta taaa
    Yamemwagika yamemwagika yamemwagika
    Mpaka chini mpaka chini mpaka chini
    Amina, Amina na Mwajuma
    Wanaringa hawa kima
    Kumbe wanauza (Usiseme hivyo)

    Continúa después del anuncio

    Kilode kilode kilodee
    Watoto wadogo wanataka nipotee
    Haa! Labda nifukiwe chini wala wasiwaongopee
    Hee! Shindo langu mimi mjikusanyе wote
    Haya sema shkamoo dada (Shkamoo dada)
    Shkamoo kaka (Shkamoo kaka)
    Mniamkie shkamoo mama (Shkamoo mama)
    Shkamoo baba (Shkamoo baba)

    Aluluе alulueee (Alulue alulueee)
    Aah Kama mtu hachezi mzabue (Tumzabue tumzabue)
    Sema Alulue alulueee (Alulue alulueee)
    Kama mtu hachezi tumtoee (Tumtoe tumtoe)

    Eh nani anaweza kulicheza sagarumba
    Mimi ninaweza kulicheza sagarumba
    Nauliza nani anaweza kulicheza sagarumba
    Nasema mimi ninaweza kulicheza Sagarumba
    Aah twende maftaaa taa mafta taa mafta ta (Yana nini)
    Yamemwagika yamemwagika yamemwagika (Eti mpaka wapi)
    Mpaka chini mpaka chini mpaka chini (Mamaaa)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión