WaleWale (feat. Diamond Platnumz)

Zuchu

    Continues after the ad

    Sisi ndo wale wale
    Mlio tukataa
    Mkasema hatufiki mbalee
    (Na simba lamaa)
    Sasa tumejipata
    Ni Zuchu chu chu chu chu

    Hehehee!
    (Ayo Trone)
    Ai wewee
    Troni
    Heee!

    Ayayayaya
    Ulivyonipiga juju
    Ulidhani nitagwaya
    Hukujua nina Mungu
    Ayayayaya
    Eti nile chukuchuku
    Mambo yangu yako sawa
    Nishashiba kukukuku
    Heee!

    Chote ni choyo na sijalii
    Ndio kina waumiza
    Na Mungu wangu (na Mungu wangu)
    Yu ngangari
    Cheza nami atawamaliza

    Karibu ntanunua gari nakuja kwenu
    Itaneni muambizane mje mjae (mama sumaaa)
    Maisha yangu ya bei ghali kuliko yenu
    Mi ndo yule mlikatazwa msicheze nae

    Sisi ndo nani
    Sisi ndo wale wale
    (Sisi ndo wale wale)
    Mlio tukataa
    (Mlio tukataa)
    Mkasema hatufiki mbalee
    (Jamani Mungu si athumani)
    Sasa tumejipata
    (Aii aaah hee)

    Continues after the ad

    Sisi ndo wale wale
    (Sisi ndo wawawawa)
    Mlio tukataa
    (Mlio tukataa)
    Mkasema hatufiki mbalee
    (Jamani Mungu si athumani)
    Sasa tumejipata

    Aritikitiki tikitiki
    Eeh rikiti tikiti
    Tikiti tikiti
    Tikiti tikiti
    Heee!
    Arerererere
    Are tokoto tokoto
    Tokoto tokoto
    Tokoto tokoto
    Heee!

    Oooh eti ntakufa
    (Kwani we utaishi milele)
    Nilipozitafuta
    (Mbona mliniacha mwenyewe)
    Hizo chuki na pupa ooh
    (Ndo zinofanya mchelewe)
    Oooh kwa kushinda kutwa
    (Roho mbaya na viherehere)

    Hee na mwaka huu mtaisaga rumba (eh kwanini)
    Maana nimemowomba Mungu mpaka nyumba (ay!)
    Na mjiandae kwa sare za ndoa sio uchumba (eh waganga)
    Waganga wenu wambieni wakoleze ndumba

    Aeee oh!
    Oh binadamu ni waajabu sana (jaabu sana)
    Wana maneno ya kukatisha tamaa
    Binadamu ni waajabu sanaaa
    Wana matendo ya kuumiza sana

    Walisema eti nna nuksi ya senti (kapachuka)
    Nyota yangu ya boda ya kwao ya jeti
    Nani wa kunidate bega kama kenchi
    Kudadeki zenu asa mbona mnakechi
    Oooh sisi ndo walewale!

    Sisi ndo wale wale
    (Sisi ndo wale wale)
    Mlio tukataa
    (Mlio tukataa)
    Mkasema hatufiki mbalee
    (Jamani Mungu si athumani)
    Sasa tumejipata
    (Aii aaah hee)

    Sisi ndo wale wale
    (Sisi ndo wawawawa)
    Mlio tukataa
    (Mlio tukataa)
    Mkasema hatufiki mbalee
    (Jamani Mungu si athumani, jamani)
    Sasa tumejipata

    Aritikitiki tikitiki
    Eeh rikiti tikiti
    Tikiti tikiti
    Tikiti tikiti
    Heee!
    Arerererere
    Are tokoto tokoto
    Tokoto tokoto
    Tokoto tokoto
    Heee!

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão