(Humble yourself)
Daisho
Eljjah Hex (Robbie)
Wakikuona ukipita
Wengi wanaleta tamaa
Ila mama mi na we
Unajua wapi tumetoka
Wakikuona dada
Mpaka myoyo yao inawauma
Ila mama mi na we
Tunajua wapi tumetoka
Kama maua tunafanana
Kama ndege tunaendana
Basi turuke pamoja aah ah
Wewe tawi mimi jani
Wewe maji mimi kiu
Tusiachane mapema
Utanitoa roho oh, oh
Kwako nishafika mi
Kwako ndo shanasa mi
Kwako ndo sichomoki my lova
Kwako ndo shafika mi
Kwako ndo shanasa mi
Kwako ndo sichomoki my lova
My lova my lova ah, ah
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Oh sitamani
Sitamani yeah
Sitamani
Ndo popo twavuka mto
Mama we mama we
Niitwe baba mama watoto
Ni wewe ni wewe
Nakitandani mi ndo niwe mto
Mama we mama we
Homa ikizidi unipe mseto
Oh, baby
Atawakisema kwako mi sitoki my
Wewe kwangu kama Nandy na Bill Nass
Tusiwe kama Mond na Zari
Oh, baby
Penzi letu kilo sio nusu
Tuwakomeshe kwani hayiwahusu
Mi na wewe aah
Kwako nishafika mi
Kwako ndo shanasa mi
Kwako ndo sichomoki my lova
Kwako ndo shafika mi
Kwako ndo shanasa mi
Kwako ndo sichomoki my lova
My lova my lova ah, ah
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Sitamani niwe mbali mbali mbali na wewe
Oh, baby
Kwako nishafika mi
Kwako nishanasa mi
Kwako nimefika my lova
My lova ah yeah, yeah
Jay Star
(K-One Music Baby)