MAUA Sama
Yeah
Gini x66
Nilisema sitopenda, nimependaa
Pendaa tena, aah (aah)
Sasa nimeshatekwaa, mi nimetekwaa
Oh, tekwa tena
Yani kama njiwa tunapepea wawili
Mi na yeye, hatuna kitendawili
Nanenepa jamani, si kwa penzi hili
Nisipomwona, mi navurugwa akili
Mi nawaza, akiniacha
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?
Mi nawaza, akiniacha
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?
Maapenzi anayonipa
Sitomwacha hata aniache katakata
Kwa gari nimeshafika
Sitoshuka hata anishushe katakata
Kama njiwa tunapepea wawili
Mi na yeye, hatuna kitendawili
Nanenepa jamani, si kwa penzi hili
Nisipomwona, mi navurugwa akili
Mi nawaza, akiniacha (uanze wewe? Saa itakuwaje?)
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?
Mi nawaza, akiniacha (uanze wewe au mimi?)
Saa itakuwaje? Saa itakuwaje? Saa itakuwaje?
Mi nawaza, akiniacha
Aa saa itakuwaje, beibeeii?