Nadia
Hoyah hoyah hoyah
Hoyah hoyah hoyah
Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha
Nikitoa shukrani hadharani wakasema najigamba
Hao binadamu walinipa wiki
Sasa imepita miaka bado wanasubiri
Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa
Sio juju ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi
Sio juju ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi
Hoya hoya hoyaah
Hoya hoya hoyaah
Hoya hoya hoyaah
Na mikono nitainua, magoti nipige
Nimweleze jinsi alivyotenda katika Maisha yangu
Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa
Sio juju ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi
Sio juju ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi
Hoya hoya hoyaah
Hoya hoya hoyaah
Hoya hoya hoyaah
Maneno ya wanadamu, yalinilenga kama mishalee
Ila Mungu hawezi kubali uangukee
Alichoanzisha leo, lazima atakamilisha weeh
Kazi ya Mungu haina makosa
Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa
Sio juju ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi
Sio juju ni maombi, ni maombi
Si kelele ni maombi, ni maombi
Si uchawii weeh
Si ulevii eeh
Si kwa nguvu zangu miee
Si KaNadia katambee