BG#mF#E X4
[Verse 1]
BG#mF#E
Kuna Rhumba ya Juja, na ni ya maboy
BG#mF#E
Ukisaka mitumba, enda Rhumba ya Toi
BG#mF#E
Kuna Rhumba ya Kibich, utajua hujui
BG#mF#E
Kuna Rhumba for all you niggas, ila Rhumba Japani ndio Rhumba
BG#mF#E
Kuna Rhumba ya state house (heh), iko chini ya maji (okay)
BG#mF#E
Kuna Rhumba ya bunge (eh), ya majambazi
BG#mF#E
Ukileta ujinga (weh), utalala ndani
BG#mF#EB
Kuna Rhumba for all you niggas, ila Rhumba Japani ndio Rhumba
[Chorus 1]
G#mF#EBG#mF#E
Hapa ni wapi (ni wapi), tumezungukwa na shisha na shashamani (oh no)
BG#mF#EBG#mF#EB
Mapochopocho na vinywaji mbali mbali, wengine wanatapika wakizirai (yeah)
G#mF#EBG#mF#
Hapa ni wapi (Sol Generation), wanatutwanga mapicha kipaparazi (oh no)
EBG#mF#EBG#mF#E
Tumezungukwa na warembo geti kali, tunazitoka na style-i za kizamani (oh!)
[Instrumental]
BG#mF#E X2
[Verse 2]
BG#mF#E
Kuna Rhumba ya Westy, ya mabeshte
BG#mF#E
Wa mashinani, sheki your waistii
BG#mF#E
Rhumba ni nyepesi (ah ah), isikue kesi (ah ah)
BG#mF#E
Kuna Rhumba for all my niggas, ila Rhumba Japani ndio rhumba
BG#mF#E
Kuna Rhumba Karura, ya kupanda miti
BG#mF#E
Ukiwa Koinange, hakunaga risiti eh, ai
BG#mF#E
Rhumba Oyole, hiyo ni ya mangwati
BG#mF#EB
To all of my hoes and all of my niggas, Rhumba Japani ndio Rhumba
[Chorus 2]
G#mF#EBG#mF#E
Hapa ni wapi, tumezungukwa na mabouncer kama chuani
BG#mF#EBG#mF#EB
Kuna mapedi mapoko pia mapinji (eeeh), na wanaseti michele kwenye vinywaji (iii)
G#mF#EBG#mF#
Hapa ni wapi, kuna visanga vioja mahakamani
EBG#mF#EBG#mF#
Wapenzi wapigana mate hadharani (oooh), wengine wanatekana nyuma ya taxi (iii, iii)
[Instrumental]
BG#mF#E X2
[Verse 3]
BG#mF#E
Niitie Rhumba obunga (ah), mano mar jothurwa (zi)
BG#mF#E
Tokida bilo mbuta (mbuta), ririyo manyatta (zi, ha)
BG#mF#E
Yawuoi orwako akala (skr, skr), tonyiwa ondiso avunja (abunja)
BG#mF#EB
Kuna Rhumba for all you niggas, lakini Rhumba Japani ndio Rhumba
G#mF#EB
Aaaaaaah (Sol Generation)
G#mF#E
Aaaaaaah (you know)
BG#mFE
Hii shit imeniweka zone,
BG#m
Inatamba
F#EB
Aaaaaaah
[Chorus 3]
G#mF#EBG#mF#
Hapa ni wapi, waheshimiwa wako nje kwa foleni
EBG#mF#EBG#mF#EB
Na raia wako ndani wajivinjari, wanazitoka na style-i ni za kiodi
G#mF#EBG#mF#
Hapa ni wapi, mawochi wote wameleta utiaji
EB
Wakafungia wakubwa nje ya party, wakawachia ofisi wafanyikazi