Cifra Club

Koleza

Linah

Aún no tenemos los acordes de esta canción.

Wakiongea usijibu chochote we baki bubu
Me komo yao na hawajui tu
Na furaha imeeleta unaleta amani kwenye maisha yangu
Povu liwatoke wakaroge nitabaki nawe
Mpenzi koleza, baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza
Mpenzi koleza, baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza

Inabidi uniamini (aah eeh)
Kukuacha kazi (kazi)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Inabidi uniamini (aaah eeh)
Kukuacha kazu (kazu)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)

Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!

Maneno maneno wakikuambia
Nambie eh
Midomo midomo kazi
Yake kuongea wapuuzie
Nitauboresha, boresha
Nitauboresha miee

Mpenzi koleza, baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza
Mpenzi koleza, baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza

Inabidi uniamini (aah eeh)
Kukuacha kazi (kazi)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Inabidi uniamini (aah eeh)
Kukuacha kazu (kazu)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)

Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!

Inabidi uniamini (aah eeh)
Kukuacha kazi (kazi)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Inabidi uniamini (aah eeh)
Kukuacha kazu (kazu)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)

Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!

Otros videos de esta canción
    0 visualizaciones

    Afinación de los acordes

    Afinador en línea

    Ops (: Contenido disponible solo en portugués.
    OK