Cifra Club

Chekecha cheketua

Alikiba

Aún no tenemos los acordes de esta canción.

Jamaniii mi nataka saule kama mapenzi gorofa yamejaa Kariakoo
Mi nna mapenzi tele kama kwetu kule
Wanao nitaka ni wengi ila mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani

Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

Aya chekecha

Chekecha Aya chekecha cheketua

Cheke chekecha cheketua
Cheke chekesha cheketua

Cheke chekesha cheketua cheke

Masia Uluso kitaa Abu Daddy
Penzi alinipa mama nami leo nakupatia

Tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna
Mi ntakupenda sana mpaka wivu utakimbia
Nami ntalia na wewe mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
Nikugeuze Princess sema nini unataka
Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani
Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
Aya chekecha
Chekecha Aya chekesha cheketua
Cheke chekecha cheketua
Cheke chekesha cheketua
Cheke chekesha cheketua cheke
Yeah uuh cheke chekecha aah heyi

Otros videos de esta canción
    0 visualizaciones

    Afinación de los acordes

    Afinador en línea

    Ops (: Contenido disponible solo en portugués.
    OK