Yooh, 001 aah, aah ah
Iyo iyo iyo yeah
Kadogo kanapenda keroro
Keroro, keroro
Kadogo kanapenda keroro
Kembamba kadogo
Kanapenda keroro
Nikamuuliza, anatoka 254
Mombasa kwa wanjanja janja
Ananikosha roho
She must be there
She would be there
Wouh wo kadogo dogo
Mnawakataa machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Mnawakata machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Kadogo kanapenda keroro
Keroro keroro
Kadogo kanapenda keroro
Kembamba kadogo
Kanapenda keroro
Akaja bongo aah
Akaja akaja bongo keroro
Akitwika anayumba yumba keroro
Naskia am in love sio kidogo
Anaweza love ananikosha
Kwa vile, vile
Anavyodance aah
Ananikosha
She must be there
She would be there
Wouwo kadogo dogo
Mnawakataa machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Mnawakata machali
Mnawataka mamanzi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Mnawataka maboys
Mnawakata wadosi
Mnanikulia vako sio
(Eeh baba)
Kadogo kanapenda keroro
Keroro keroro
Kadogo kanapenda keroro
Kembamba kadogo
Kanapenda keroro
Kadogo kadogo dogo
Kananimalizaa
Kananikosha rohoo rohoo
Kadogo kadogo dogo
Kananimalizaa
Nikosha rohoo
Rohoo yangu weeh