Cifra Club

Bembea (feat. Ali Kiba)

Aslay

Aún no tenemos los acordes de esta canción.

Na, na, na, na, na, na, na

Wapi unawaumizaga
Niambie tuwakomeshe
Tuwakomeshe vishadai
Wavimbe wateseke

We nipende tu
Nipe na nyota nitembelee
Wachawi viga kura
Beiby tushikane tuwakemee

We ni doctor mi mgonjwa
Ndo maana nikikuona mwenzako ninapona
Umenijaa akilini
Ndo maana nakutaja mwenzako kila ngoma

Beiby, tuifiche hiyo siri
Tusionyeshe dhahiri
Huwanga wanasubiri
Waone utavyonimwaga
Wa mbili awe mbili
Wa kwanza tuwe wa kweli

Ah natakata takataa
Natakata na penzi lako
Na nitadata nitadata
Ukininyima hicho ulichokuwa nacho
Naridhika ridhika
Naridhika na huba lako
Nakuahidi nitakufa
Nikija kulikosa hilo penzi lako

Bembea, mahabuba bembea ooh
Bembea, nakuruhusu ning'inia
Kwenye moyo wangu
Bembea, lazizi bembea ooh
Bembea, mwenzako nasikia raha sana

Nasi tunazima data
Simu zao tunakata
Tudanane kama mapacha
Wawili wawili, wawili twende mbele

Ulivyo mtamu ratili
Sukari usiongezee
Ujuzi unao, uzuri unao nashiba
Mahaba ilegezee eeh

Ah ukinigusa nasisimua
Jaa jaa bigwa wako sasambua
Umeniweza mtoto wa kishua
Shida zangu zote unatatua
Ndo maana nakupenda
Palipo ufa tujenge
Usisikize wapambe wee
We nipende nikupende
Na ndio maana nakupenda
Tuifiche hiyo siri
Tusionyeshe dhahiri
Huwanga wanasubiri
Waone utavyonimwaga

Wa mbili awe mbili
Wa kwanza tuwe wa kweli
Wambeya wanasubiri wapate
Cha kusemaga

Bembea, bembea unawamaliza
Bembea, wakose cha kusemaga
Hakuna kutafuna
Bembea, bembea unawamaliza
Bembea, wakose cha kusemaga
Hakuna kutafuna

Otros videos de esta canción
    0 visualizaciones

    Afinación de los acordes

    Afinador en línea

    Ops (: Contenido disponible solo en portugués.
    OK