Cifra Club

Unanitosha

Lomodo

Aún no tenemos los acordes de esta canción.

Mahaba mbingu la penzi lanifunika
Abadan sito kukimbia (yeah)
Kifuani, ninapenda ukishika unadeka
Na mambo ya pwani, unanipatia iyeee

Niambie nikupe nini unachokikosa, usibadilike
Kama wewe kufuli mie kitasa, mlango nishike
Na time nikikosa usiende kukopa, unifedheheshwe
Nyumba penzi lisiwe la mateka, lipepee yeah

Ona nahisi baridi kutetema
Unikumbatie raha sanaa
Nipee kona, mikunju ka summer beach hodari
Mjegejegajii epuka shuruba shuruba aah

Me nawe tufanane, unanitosha kupindukia
Unaendaga nami, unanitosha kupindukia
Kama mboga michupu chupu, unanitosha kupindukia
Iye iye iye iye, unanitosha kupindukia
Iyo iyo, iyo iyo

Tukikosa mchana, tutakula dinner
Siri nitunzie
Sijachana jina, nimembeba heshima
Kwako nitulie

Unipe ulafundi wa nakungwi
Washushuke japo sio mtungi
Tuishie mpaka tulilambe vumbi
Tuwasute walevi na mazombi

Ona nahisi baridi kutetema
Unikumbatie raha sanaa
Nipee kona, mikunju ka summer beach hodari
Mjegejegajii epuka shuruba shuruba aah

Me nawe tufanane, unanitosha kupindukia
Unaendaga nami, unanitosha kupindukia
Kama mboga michupu chupu, unanitosha kupindukia
Iye iye iye iye, unanitosha kupindukia
Iye iye iye iye
Iye iye iye iye

Ooh, ooh
Ooh, ooh

Otros videos de esta canción
    0 visualizaciones

    Afinación de los acordes

    Afinador en línea

    Ops (: Contenido disponible solo en portugués.
    OK