Mawazo unayo kwangu
Si mabaya hata niishi na woga na wasiwasi
Hata nikiwa ndani ya jangwa
Sihofu najuwa ninaye Baba
Yanipasa tu nitulie
Nisubiri mapenzi yako
Yanipasa tu niketi
Niuone ukuu wako
(Bwana) najuwa una mupango mwema
(Kwangu) najuwa una mupango mwema
Hata milima iinuke
Sitakuacha kamwe
Hata ahadi zikawie
Nitabaki nawe
Hata dunia inyamaze
Nitakuita Ywh
Ingawaje mengi yakutisha
Nakuona wewe
Ulisema humuachi
Yule ajaye kwako
Ulisema mwenye haki
Ataishi na imani kwako
Ndiyo maana nakuita
Bwana onekana
Yanipasa tu nitulie
Nisubiri mapenzi yako
Yanipasa tu niketi
Niuone ukuu wako
(Bwana) najuwa una mupango mwema
(Kwangu) najuwa una mupango mwema