Yammi yammi
Ooh love you babe
Nioneshe mahaba unlimitedi
Mwili na roho vyako babe
Japo usawa unakaba, I am ready
Penzi tumelizindua kwa Yasin tatu
Tumejikinga na dua zidi ya macho ya watu
Yeye namuaminia na simuachi katu
Bure mnajisumbua, zenu papatupapatu
Ahhh nipepee mwilini, joto litoke buu
Niteke kwa maraha kama yotee tuu
Nipepee mwilini, joto litoke buu
Niteke kwa maraha kama yotee tuu
Babe this is too much oo (doze doze)
Taratibu mwaya, utaniua mwenzako (doze doze)
Ahh babe this is too much oo (doze doze)
Moyo wangu mimi, ushakua mali yako (doze doze)
Daddy wewe ndo unanipatia
Daddy umefaulu mia ya mia
Ahadii naahidi kukutumikia
Ahh daddy, kuupenda kwangu ni sharia
Aah naapa kwa mbalamwezi na nyota za usiku
Atubariki mwenyezi, penzi liwe nadhifu
Penzi tumelizindua kwa Yasin tatu
Tumejikinga na dua zidi ya macho ya watu
Yeye namuaminia na simuachi katu
Bure mnajisumbua, zenu papatupapatu
Ahh nipepee mwilini, joto litoke bu
Niteke kwa maraha kama yotee tu
Nipepee mwilini, joto litoke bu
Niteke kwa maraha kama yotee tu
Babe this is too much oo (doze doze)
Taratibu mwaya, utaniua mwenzako (doze doze)
Ahh babe this is too much oo (doze doze)
Moyo wangu mimi, ushakua mali yako (doze doze)