Cifra Club

Subira (feat. Skiibii)

Ibraah

Aún no tenemos los acordes de esta canción.

Oh nah, nah
Subira imeniponza, natokota
Kwote kupambana tatu bila
Langu penzi tamu tamu, wameliokota

Eh moyo ukauwacha na malenge lenge
Umeota vidonda eh
Nimefuba hali ni shiwenge
Wivu nakonda

Anipita mbali kama kigege
Aniacha hoi mi mlege lege
Nadharaulika ananiona bwege
Oh inauma

Kama asali nishapokonywa masege
Kaniachiaga homa ya dege dege
Leo mlezi bichi mi wa mla ndege
Hakumbuki nyuma

Tena sikudhubutu
Kumfanya ajutie kunipenda
Niliamini wa milele daima
Daima

Kwake sikuaga zumbukuku
Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye
Anavyoiweka kando inaniuma
Inaniuma

Eh yangu akili
Ameichanganya changaya, ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa, lipangusa aah
Aah nalia

(Skibii)
Baby no bi moto
But you got me crazy gani
Now I can't get you off my eeh
Can't get you off my eeh

Umeniachia kidonda kidonda
Mi mwenzako ninakonda
Kidonda kidonda
Skiibii Mayana nakonda

Baby na seh bend love you gani o
Ma enjoy my money
I go stop by your side bi gani

I wish you treat me right
I wish you do me right
I wish you do the right
My heart is beating I love you darling

Yangu akili
Ameichanganya changaya, ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa, lipangusa aah
Aah nalia

Otros videos de esta canción
    0 visualizaciones

    Afinación de los acordes

    Afinador en línea

    Ops (: Contenido disponible solo en portugués.
    OK