Cifra Club

Shoga

Nini Tanzania

Aún no tenemos los acordes de esta canción.

Ninaulizwa mimi na wewe mbona hatuelewani
Wakati urafiki wetu kila mtu anaufahamu
Ila leo lazima niseme
Kuwa wewe ni mzushi tena muongo

Na kumbe una lako jambo
Uliponishauri niachane naye

Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe

Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana

Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
Umenikosea
Inaniuma sana ulivyonitenda
Tuone furaha yako itaishia wapi

Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
Umenikosea
Inaniuma sana ulivyonitenda
Tuone furaha yako itaishia wapi

Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe

Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana

Nitapata wapi rafiki mwema
Kila rafiki adui tena
Nakula nawe, nacheka nawe
Nikikupa chongo ndo unanisema

Hata ukisema vibaya (Sawa)
Niombee mabaya (Sawa)
Kunja roho mbaya (Sawa)
Moyoni nina Jesus power (Power)

Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana

Otros videos de esta canción
    0 visualizaciones

    Afinación de los acordes

    Afinador en línea

    Ops (: Contenido disponible solo en portugués.
    OK